Ali
Kiba baada ya kuteuliwa mwakilishi kwenye kampeni ya kuzuia vifo vya
tembo WildAid amekuwa akikutana na mabalozi wakiwemo wa Marekani na
msanii mkubwa wa filamu marekani Lupita Nyongo pamoja na familia
yake.Katika maongezi ameonekana mtulivu wa nje na ndani ya nafsi ishara
tosha anakimudu kingereza.Huku akipunguza matabasamu mengi wakati wa
maongezi kama timu pinzani.
TIMU YA WATAALAMU KUTOKA SADC WATEMBELEA TMA KUKAGUA NA KUKABIDHI VIFAA VYA
HALI YA HEWA
-
Na Mwandishi Wetu, Michuzi TV
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imepokea timu ya wataalamu kutoka
Kituo cha Kikanda cha Huduma za Hali ya Hewa cha Jum...
Saa 4 zilizopita
Chapisha Maoni