Nchini Nigeria kumeanzishwa kampeni iitwayo Open NASS katika mitandao ya kijamii inayokemea mishahara mikubwa wanayopokea wawakilishi wa baraza la seneti.
Kampeni hiyo inaomba ufafanuzi kuhuzu mishahara hiyo ambayo inesemekana kuwa mikubwa mno.
Wabunge na wanaseneti nchini Nigeria hupokea Euro 12,000 kwa mwezi.
Kitita hicho cha mshahara kinapeleka Nigeria kushikilia nafasi ya kwanza barani Afrika ya wabunge wanopokea mshahara mkubwa.
Kitita hicho kiliweka bunge la Nigeria katika orodha ya wabunge wanaopokea mishahara mikubwa duniani kama vile Ufaransa, Uswidi, Israel na Uingereza.
Kwa mwaka hujikusanyia kitita kikubwa cha pesa kushinda kile ambacho hukusanya waziri mkuu wa Uingereza.
Rais Muhammadu Buhari ambae amechaguliwa siku za nyuma, yeye hupokea takriban sarafu za Ulaya 5,000.Nchini Nigeria kiwango cha chini cha mshahara kwa mwezi ni pesa 81 sarafu za Ulaya.TRT SWAHILI
Reuters
IAA KUBORESHA MAZINGIRA YA KUJIFUNZIA ILI KUENDELEA KUZALISHA WATAALAM
MAHIRI
-
Na Mwandishi Wetu
MKUU wa Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA), Prof. Eliamani Sedoyeka amesema IAA
itaendelea kuimarisha miundombinu na mazingira ya kujifunz...
Saa 15 zilizopita
Chapisha Maoni