Nchini Nigeria kumeanzishwa kampeni iitwayo Open NASS katika mitandao ya kijamii inayokemea mishahara mikubwa wanayopokea wawakilishi wa baraza la seneti.
Kampeni hiyo inaomba ufafanuzi kuhuzu mishahara hiyo ambayo inesemekana kuwa mikubwa mno.
Wabunge na wanaseneti nchini Nigeria hupokea Euro 12,000 kwa mwezi.
Kitita hicho cha mshahara kinapeleka Nigeria kushikilia nafasi ya kwanza barani Afrika ya wabunge wanopokea mshahara mkubwa.
Kitita hicho kiliweka bunge la Nigeria katika orodha ya wabunge wanaopokea mishahara mikubwa duniani kama vile Ufaransa, Uswidi, Israel na Uingereza.
Kwa mwaka hujikusanyia kitita kikubwa cha pesa kushinda kile ambacho hukusanya waziri mkuu wa Uingereza.
Rais Muhammadu Buhari ambae amechaguliwa siku za nyuma, yeye hupokea takriban sarafu za Ulaya 5,000.Nchini Nigeria kiwango cha chini cha mshahara kwa mwezi ni pesa 81 sarafu za Ulaya.TRT SWAHILI
Reuters
DKT. MWIGULU AZUNGUMZA NA WANANCHI WALIOATHIRIWA NA MVUA KILOSA.
-
*Autaja mradi wa ujenzi wa mabwawa ya kuhifadhi maji ya Mvua eneo la Kidete.
WAZIRI Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 02, 2026 amezungumza na wakaz...
Dakika 34 zilizopita
Chapisha Maoni