0
Wakurugenzi watendaji na maofisa wa uchaguzi wa Halmashauri za Wilaya Mkoani Manyara, wakila viapo kwenye mafunzo ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura yaliyofanyika jana mjini Babati.
Mchambuzi mwandamizi wa kompyuta wa tume ya Taifa ya uchaguzi (NEC) Joseph Mally akionyesha vifaa vya Biomertic Voter Registration (BVR) vitakavyotumika kwenye uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura Mkoani Manyara, jana mjini Babati.

Chapisha Maoni

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

 
Top