Agathon Rwasa, mpinzani na mgombea wa kiti cha urais katika uchaguzi uliofanyika Burundi na rais Pierre Nkurunziza kuibuka mshindi ametoa wito wa kurejea kwa uchaguzi.
Rais Nkurunziza ametangazwa kuwa rais baada ya kuchaguliwa kwa asilimia 69.
Vyama vya upinzani vilisusia uchaguzi huo kwa madai kuwa rais Nkurunziza kuwania kiti cha urais katika muhula wa 3 ni kinyume ya katiba na mkataba wa Arusha.
Licha ya kuchukua nafasi ya pili, Rwasa alifahamisha
kutokutambua matokeo ya uchaguzi na kusema kuwa wazo la serikali ya
muungano ni jambo la kuungwa mkono iwapo malengo yake itakuwa ni kuandaa
uchaguzi wa haki na demokrasia.
CHANZO TRT SWAHILI
MHANDISI JOANES AWATAKA OLCHORONYORI KUWA MABALOZI WA KUKABILIANA NA
MABADILIKO YA TABIANCHI
-
Na Mwandishi wetu, Simanjiro
HALMSHAURI ya Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, baada ya kupata mradi wa
mpango wa kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi (S...
Saa 5 zilizopita
Chapisha Maoni