Agathon Rwasa, mpinzani na mgombea wa kiti cha urais katika uchaguzi uliofanyika Burundi na rais Pierre Nkurunziza kuibuka mshindi ametoa wito wa kurejea kwa uchaguzi.
Rais Nkurunziza ametangazwa kuwa rais baada ya kuchaguliwa kwa asilimia 69.
Vyama vya upinzani vilisusia uchaguzi huo kwa madai kuwa rais Nkurunziza kuwania kiti cha urais katika muhula wa 3 ni kinyume ya katiba na mkataba wa Arusha.
Licha ya kuchukua nafasi ya pili, Rwasa alifahamisha
kutokutambua matokeo ya uchaguzi na kusema kuwa wazo la serikali ya
muungano ni jambo la kuungwa mkono iwapo malengo yake itakuwa ni kuandaa
uchaguzi wa haki na demokrasia.
CHANZO TRT SWAHILI
WANANCHI WAIPONGEZA TANROADS-MOROGORO KWA KUREJESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA
WILAYANI MALINYI
-
Baadhi ya wananchi katika Wilaya ya Malinyi mkoani Morogoro wameipongeza
Wizara ya Ujenzi kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) kwa
kuendelea na k...
Saa 2 zilizopita
Chapisha Maoni