0
k
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na watanzania waishio Switzerland katika hoteli ya Intercontinental jijini Geneva-Julai 16, 2015.
mail.google.com9
Watanzania waishio Switzerland.
j
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa ofisi ya mwakilishi wa kudumu wa Tanzania Umoja wa Mataifa Geneva jana baada ya kuzungumza nao na kisha kupata futari katika Hoteli ya Intercontinental jijini Geneva Uswisi.(picha na Freddy Maro)
IMECHOTWA KWENYE MTANDAO NA VICTOR SIMON

Chapisha Maoni

 
Top